Kazi 48 za tangawizi mwilini
- Huondoa sumu mwilini haraka sana
- Huua bakteria wa aina nyingi mwilini hata salmonella ndani ya mwili hata juu ya ngozi
- Kuna viua vijasumu (antibiotics) vya asili viwili kwenye tangawizi
- Huondoa uvimbe mwilini
- Huondoa msongamano mapafuni
- Tangawizi inayo ‘zingibain’ ambayo huua vimelea mbalimbali vya magonjwa na mayai yake
- Huondoa maumivu ya koo
- Huua virusi wa homa
- Huondoa maumivu mbalimbali mwilini
- Huondoa homa hata homa ya baridi (chills)
- Hutibu saratani ya tezi dume. Tangawizi huua kimeng’enya ambacho ni chakula cha seli za kansa ya tezi dume kiitwacho ‘5-LO enzymes’ na seli hizo za kansa hufa ndani ya masaa mawili au manne bila hicho kimeng’enya.
- Tangawizi ina kiinilishe mhimu sana ambacho huzuia kuongezeka kwa seli za kansa ya kongosho kiitwacho kwa kitaalamu kama ‘gingerol”
- Hutibu kansa zinazoweza kusababishwa na kupata choo kigumu muda mrefu (constipation-related cancer)
- Ni dawa nzuri kwa kansa ya kwenye damu (leukemia)
- Ni dawa nzuri dhidi ya kansa ya mapafu (lung cancer)
- Huzuia kujizalisha kwa bakteria aitwaye ‘Helicobacter pylori’, bakteria huyu ndiye husababisha vidonda vya tumbo mwilini, pia hutibu kiungulia, na kanza mbalimbali za tumbo
- Ni msaada sana katika kuzuia na kutibu kansa ya titi
- Hutibu kanza za kwenye kizazi na kanza za kwenye mirija ya uzazi
- Huongeza msukumo wa damu
- Husaidia kuzuia shambulio la moyo
- Huzuia damu kuganda
- Hushusha kolesto
- Husafisha damu
- Husaidia watu wenye kukakamaa kwa mishipa
- Hutibu shinikizo la juu la damu
- Husafisha utumbo mpana
- Hupunguza mishtuko kwenye utumbo mpana na tumbo kuunguruma
- Huondoa GESI TUMBONI KIRAHISI ZAIDI
- Husaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
- Dawa nzuri ya kuondoa uchovu
- Husaidia kuzuia kutapika. Husaidia hata wale wanaosafiri baharini wasipatwe na kichefuchefu
- Husaidia kuondoa maumivu kutokana na mkao mmoja wa mrefu ama kusimama au kukaa
- Husaidia uzalishwaji wa juisi vimeng’enya kwa ajili ya kumeng’enya chakula
- Husaidia kuzuia kuharisha
- Husaidia mfumo wa upumuaji na kutuliza dalili za pumu
- Hutibu tatizo la miguu kuwaka moto
- Hutibu homa ya kichwa
- Hutibu maumivu ya tumbo wakati wa hedhi
- Hutibu homa za asubuhi hata kwa mama mjamzito
- Husaidia kupunguza homa ya baridi yabisi (helps reduce inflammation of arthritis)
- Huimarisha afya ya figo
- Husaidia kupunguza uchovu unaotokana na matibabu yaliyopita ya mionzi
- Ina madini ya potassium ya kutosha
- Ina madini ya manganese ambayo ni mhimu katika kuuongeza mfumo wa kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbalimbali.
- Ina kitu kinaitwa ‘silicon’ ambacho chenyewe kazi yake hasa ni kuongeza afya ya ngozi, nywele, meno na kucha
- Husaidia umeng’enywaji wa madini ya calcium
- Pia ina vitamini A, C, E, B-complex, chuma, zinki , magnesium, phosphorus, sodium, calcium, na beta-carotene
- Hulinda kuta za moyo, hulinda mishipa ya damu na mishipa ambako mikojo hupita
EmoticonEmoticon