Ni October 27, 2016 ambapo kundi la muziki kutokea Kenya, Sauti Sol wamefunguka na kuwataja wasanii wa Bongo Fleva waliofanya nao collabo.
Kundi hilo likizungumza na millardayo.com & Ayo TV waliyasema haya>>>‘Diamond
ni rafiki yetu kwahiyo kufanya nae collabo ni lazima, kwanza ni msanii
anayefanya bidii sana pia wapo wasanii wengine tuliofanya nao collabo
wakina Nahreel na Aika, Vanessa Mdee, Ambwene Yessaya pia tulifanya nae
kitambo sana kwahiyo uwa tukikaa mipango inafanyika lini tuachie hiyo
collabo’
Unaweza ukabonyeza play kuwasikiliza Sauti sol wakiwataja wasanii waliobakiza kufanya nao collabo Tanzania
EmoticonEmoticon