Kwa mujibu wa 'Mirror', klabu ya Kituruki inataka kumsajili Depay na wako tayari kufanya jitihada kwa ajili yake. Lakini ni chaguo moja kwa Depay mwenye umri wa miaka 22.
Depay alijiunga na United mwaka 2015 kutoka PSV Eindhoven na matumaini ya kuanza kazi kubwa katika Ligi Kuu lakini Mourinho hajawahi kumpa wakati wa kutosha kucheza . Depay amekuwa akihusishwa na klabu mbalimbali na timu kama Milan na Juventus wanataka kujiunga nae.
Galatasaray ndio wapo karibu katika kunasa saini yake. Mholanzi huyo anataka kuihama klabu ya Manchester United, ikiwa yeye alicheza msimu huu si zaidi ya dakika kumi.
EmoticonEmoticon